Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kimefanikiwa kuwa
Mshindi wa pili katika Mashindano ya Taifa ya Afya na Usafi wa
Mazingira kundi la Vyuo Vikuu, Tanzania Bara. Pamoja na
kupata Cheti hicho, Chuo kimepata fedha za Kitanzania kiasi
cha shilingi Milioni tatu katika shindano hilo.
0 Comments