SUAMEDIA

Fahamu jinsi mtoto wa kiume na wakike anavyopatikana


Katika urutubishaji yai la mwanamke linabeba chromosome X yani XX. Na mbegu ya mwanaume inabeba chromosome XY. Chromosome X kutoka kwa mwanamke ikikutana na Y kutoka kwa mwanaume mtoto wa kiume hupatikana. Chromosome X kutoka kwa mwanamke ikikutana na X kutoka kwa mwanaume mtoto wa kike hupatikana

Fahamu sifa za chromosomes X na Y za mwanaume.
Ili uweze kufanikiwa kuchagua mtoto wa kiume au wa kike lazima ujue sifa za chromosomes hizi zinazoamua jinsia ya mtoto.

Sifa za chromosomes Y

Zina spidi  kubwa sana kwahiyo kama yai lipo tayari zenyewe  zitawahi kwenda kurutubisha
Zina maisha mafupi sana kulinganisha na X

Sifa za chromosomes X

Zina spidi ndogo sana

Zina maisha marefu kulinganisha na Y

Baada ya kujua sifa za chromosome ambazo ndo zinatusaidia kuamua jinsia twende moja kwa moja kwenye jinsi ya kupata mtoto wa jinsia unayotaka

Mambo ya kuzingatia katika suala la kuamua jinsia ya mtoto amtakaye:

Lazima mwanamke ajue mzunguko wake (menstrual cycle)siku ya 1-28

Lazima mzunguko wako uwe na mpangilio sahihi(unaweza ukachunguza mzunguko wako kwa miezi minne mfululizo)

PH ya uke lazima iwe kiwango sahihi 4-5.5(Tumia neplily pad kwa kuwa na PH sahihi

Ushirikiano kati ya mwanamke na mwanaume

Jinsi ya kumpata mtoto wa kiume

Ili uweze kupata mtoto wa kiume kisayansi unashauriwa kushiriki tendo la ndoa siku ambayo yai litakuwa limetoka kama mzunguko wako uko sahihi ni siku ya 14

Njia nyingine ya kujua yai limetoka baba anaingiza vidole viwili ukeni wakati wa asubuhi na ukikuta uteute ujue yai limetoka kwahiyo jioni mnashiriki tendo la ndoa kwa ajili ya kupata mtoto wa kiume

KWANINI USHIRIKI TENDO LA NDOA WAKATI YAI LIMETOKA ILI KUPATA MTOTO WA KIUME?

Kisayansi chromosome Y ambayo inahusika katika kutunga mimba ya mtoto wa kiume ina spidi kubwa sana ni nyepesi na haiwezi kisihi mda mrefu kwahiyo ukishiriki tendo la ndoa wakati yai limetoka maana ake unaongeza nafasi ya kupata mtoto wa kiume

Jinsi ya kuapata mtoto wa kike.

Ili ufanikiwe kupata mtoto wa kike utatakiwa ushiriki tendo la ndoa siku tatu kabla ya yai kupevuka  yani hapa ni baada ya kujua mzunguko

KWANINI USHIRIKI TENDO LA NDOA SIKU TATU KABLA

Hii ni kwasababu  chromosome X ambazo ndo zinaunda mtoto wa kike huwa zina sifa ya kuwa na maisha marefu na kutembea taratibu hivyo yai likitolewa litakuta chromosome X ziko hai

MAMBO YANAYOWEZA ATHIRI KUPATA MTOTO UNAYEMTAKA

Kushindwa kuhesabu siku( tumia chart niliyokuwekea)
Mzunguko mbovu wa hedhi(Tumia neplily pad)
KUtokuwa na PH sahihi ukeni tumia Neplily

Post a Comment

0 Comments