SUAMEDIA

TAKUKURU wametangaza nafasi 350 za Kazi....Bofya Hapa Kutuma Maombi


 

Mkurugenzi  Mkuu  wa  Taasisi  ya  Kuzuia  na  Kupambana  na  Rushwa  (TAKUKURU) anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba kuajiriwa katika nafasi za kazi zifuatazo:


1.1    AFISA UCHUNGUZI (NAFASI 200)
1.2   Sifa za Kitaaluma:
Muombaji awe angalau na elimu ya shahada ya kwanza iliyotolewa na chuo kinachotam­bulika na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika fani zozote kati ya hizi: Mambo ya  Kale na Utalii, Sheria, Uhasibu,Teknolojia ya  Habari, Elekitroniki, Misi­tu, Kilimo, Ununuzi, Uchumi na Mipango, Usimamizi wa Rasilimali Watu, Takwimu, Utawala wa Umma/Serikali, Utunzaji wa Kumbukumbu, Usimamizi na Uthamini wa Ardhi, Mafuta  na Gesi,Ukadiriaji wa  Majenzi, Uhandisi wa  Umeme, Uhandisi kati­ka Kemia, Mifugo, Usanifu wa Majengo, Mambo ya anga, Uhandisi wa Mitambo, Uhandisi wa Ujenzi na Uhandisi wa Maji;

2.1    MCHUNGUZI MSAIDIZI (NAFASI 150)
2.2    Sifa za Kitaaluma:
Muombaji awe na cheti cha elimu ya kidato cha nne (CSE) au kidato cha sita (ACSE). astashahada au stashahada ya fani yoyote inayotolewa na Taasisi au chuo kinachotam­bulika na Serikali ya Tanzania, pamoja na fani kama vile ujenzi, ulinzi, udereva, upa­kaji rangi, ufundi magari, vifaa vya muziki, utunzaji wa kumbukumbu , TEHAMA, maendeleo ya jamii, uhazili, menejimenti ya hotel , n .k.

 Mwisho wa kutuma maombi ni - 8th November, 2021 

 ðŸ‘‰Kujua zaidi pamoja na kutuma Maombi <<BOFYA HAPA>>

👉Kupata nafasi mbalimbali za kazi Serikalini na mashirika binafsi <<BOFYA HAPA>>

Post a Comment

0 Comments